Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
Nimehamia nyumba hii sina zaidi ya miezi miwili, Huyu mama bado ni binti na mtoto wa miaka mitatu hivi, tunaishi mimi na yeye nyumba nzima. sasa vituko haviishi mara atoke chumbani kwake kifua wazi, mara sidiria na skinitaiti, mara kanga ndembendembe na mimi ndo bado.
Mzee ni kibopa mjini so ni nyumba ndogo kwa hiyo kampangishia kwenye nyumba hii ambayo mi naishi. Mama mwenye nyumba mashalahhh urefu wa twiga, umbo namba nane si unajua hawa wanene nao kwa kuchagua, hata sijui nimefikaje kwenye nyumba hii.
hawa madarari hawa jamani wanataka kunisababishia nini mimi?
Mzee ni kibopa mjini so ni nyumba ndogo kwa hiyo kampangishia kwenye nyumba hii ambayo mi naishi. Mama mwenye nyumba mashalahhh urefu wa twiga, umbo namba nane si unajua hawa wanene nao kwa kuchagua, hata sijui nimefikaje kwenye nyumba hii.
hawa madarari hawa jamani wanataka kunisababishia nini mimi?