Mkuu karibu JF.Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za mtu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume sasa nimejalibu kuchunguza 98% ya muda wao wa kazi wako pamoja mpaka lunch kila siku vikao. Jumapili moja sasa ambayo ndo moyo wangu uliumia ni pale nilipokuta wako eneo la starehe na jamaa wakila cone tena wako wenyewe bila maoficer wengine kujakumuuliza kanidanganya eti alikuwa kwenye kikaoo wakubwa zake walikuja. Embu ushauri jamani nijiondokee taratibu au nimweleze ukweli
Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za mtu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume sasa nimejalibu kuchunguza 98% ya muda wao wa kazi wako pamoja mpaka lunch kila siku vikao. Jumapili moja sasa ambayo ndo moyo wangu uliumia ni pale nilipokuta wako eneo la starehe na jamaa wakila cone tena wako wenyewe bila maoficer wengine kujakumuuliza kanidanganya eti alikuwa kwenye kikaoo wakubwa zake walikuja. Embu ushauri jamani nijiondokee taratibu au nimweleze ukweli
Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za mtu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume sasa nimejalibu kuchunguza 98% ya muda wao wa kazi wako pamoja mpaka lunch kila siku vikao. Jumapili moja sasa ambayo ndo moyo wangu uliumia ni pale nilipokuta wako eneo la starehe na jamaa wakila cone tena wako wenyewe bila maoficer wengine kujakumuuliza kanidanganya eti alikuwa kwenye kikaoo wakubwa zake walikuja. Embu ushauri jamani nijiondokee taratibu au nimweleze ukweli
poleeeee