Jamani madokta wanakutana na mengi

Jamani madokta wanakutana na mengi

Lofefm

Senior Member
Joined
May 22, 2011
Posts
126
Reaction score
81
1)Jamaa mmoja alikwenda hospitali akiwa anaumwa baada ya kupimwa na dokta akaambiwa anaumwa kiharusi jamaa akapata nafuu ghafla na kumpa dokta mkono akamwambia "ndo maana ninahamu sana ya kufunga ndoa kumbe kwa sababu ya kiharusi"
>>tembelea bongowap.hexat.com kwenye simu yako kuvunja mbavu zako zaidi
 
Back
Top Bottom