canular
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 858
- 812
Jaman habari za mida, kwa wale wataalam wanao jua mambo ya browse naomba kujua ivi nikweli au inawezekana mtu akafanya mambo yake mtandaoni paspo kua na bando? Nakama inawezekana unaunganishaje ili uwe unatumia free internet?
Jamani nimeuliza hivi coz nipo kwenye group la raia wa ghana ndio nimekutako hiyo topic ila utaalam huo wamefanya ni kwa raia wanaopatkana ghana tu sasa namie nikaona niulize wataalam wa Tz kama hiyo inawezekana tusaidiane jaman
Jamani nimeuliza hivi coz nipo kwenye group la raia wa ghana ndio nimekutako hiyo topic ila utaalam huo wamefanya ni kwa raia wanaopatkana ghana tu sasa namie nikaona niulize wataalam wa Tz kama hiyo inawezekana tusaidiane jaman