Geneous3009
Member
- Dec 30, 2013
- 31
- 0
Waheshimiwa wanajf.Habari zenu,naomba kusaidiwa kwa yeyote ajuaye;
1.Ofisi za TAMWA-Mwanza.
2.Ofisi za TAMWA-Musoma.
Basi aweke kwa kirefu mahali zilipo,si lazima ujue zote,ukiwa unafaham za Mwanza nielekeze ama za Musoma.
Nitashukuru Sana Kwa Msaada Huo.
1.Ofisi za TAMWA-Mwanza.
2.Ofisi za TAMWA-Musoma.
Basi aweke kwa kirefu mahali zilipo,si lazima ujue zote,ukiwa unafaham za Mwanza nielekeze ama za Musoma.
Nitashukuru Sana Kwa Msaada Huo.