Jamani kuna wimbo nautafuta , msaada

Jamani kuna wimbo nautafuta , msaada

mohammad_othar

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
247
Reaction score
42
Habarini wana JF kuna wimbo mmoja hivi nlivokua mdogo nlikua nauskia na nautafuta sana una lines kama hizi..

Haya maisha nayoishi mimi , yananichanganya saana sijui niendapo wala nitokapo nini maana ya maisha ...

Ndo nakumbuka sehemu hio ya wimbo, naomba kama unajua comment hapa please
 
Back
Top Bottom