kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona hivyo jamaani!na sisi tunataka utamu huo.
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona hivyo jamaani!na sisi tunataka utamu huo.
hahahahaha kwa msaada badili band ya network yako kama simu network yako ni 900/1800 au automatic badilisha weka wcdma. imefanya kazi kwangu bada ya kubadili band
hahahahaha kwa msaada badili band ya network yako kama simu network yako ni 900/1800 au automatic badilisha weka wcdma. imefanya kazi kwangu bada ya kubadili band