jamani kumbe raha ya tigo ni...

white wizard

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2011
Posts
8,618
Reaction score
13,890
kwanini lakini huu mtandao wa tigo,hususani 3G,inashika vizuri ktk ya jiji tu,yaani hata tv stations,kama aljazeera,press tv,na france 24,unatazama kupitia kwenye simu,clear kama mkanda.mbona hivyo jamaani!na sisi tunataka utamu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…