Jamani kuku wangu jamani..!!

Jamani kuku wangu jamani..!!

jonii jonii

Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
70
Reaction score
39
Nilimuamini sanaa huyu kuku nikijipa moyo kwamba hii ni mbegu bora kama nikiifuga tangu 2015 mnamo 2020 nitakua na vifaranga wengi lakin amenshangaza ndo kwanza mwaka mmoja amenza kula mayai eti hataki kuatamia yaan amesahau kabisa tabu zote nilizo zipata ktk kumtoa kijijin kwao na kumleta mjin atagie kwenye banda zuri na lenye taa ya umeme tabu nilizo zipata kumtengenezea kiota leo ananidona haaa sawa mjanja yeye ila 2020 lazima nimchinje na kufuga mwingine nimechokaa.
 
Doh!! Nimecheka sana haya subiri hiyo 2020. sasa Ikitokea akaota mbawa kama za njiwa akapaa angani sijui mtamchinjia wapi.
 
kuku mwenyew mwehu huyu ila akutese tuu kwa maana tulikuambia hafai mjini kna kuku chotara msafi na anataga mayai na hali anatamia na kulinda vifaranga ,...sasa huyu kuku wa kijijin kazoea kuzurura tu na hajui awazalo na hajui kesho ipoje
 
kuku mwenyew mwehu huyu ila akutese tuu kwa maana tulikuambia hafai mjini kna kuku chotara msafi na anataga mayai na hali anatamia na kulinda vifaranga ,...sasa huyu kuku wa kijijin kazoea kuzurura tu na hajui awazalo na hajui kesho ipoje
 
Duh lakini vyakula vinavyoliwa na kuku chotara vingi vinatoka nje hususan USA na huko nako kapatikana jogoo la kizungu linalokula sana hivyo hata hawa machotara wetu tunaowategemea 2020 watakuwa na wakati mgumu tu.
Tuwafunze kula mtama na uwele ikibidi waanze kujaribu na mihogo.
 
Duh lakini vyakula vinavyoliwa na kuku chotara vingi vinatoka nje hususan USA na huko nako kapatikana jogoo la kizungu linalokula sana hivyo hata hawa machotara wetu tunaowategemea 2020 watakuwa na wakati mgumu tu.
Tuwafunze kula mtama na uwele ikibudi waanze kujaribu na mihogo.
 
ule msemo kila nyumba ina msanii ni kweli ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom