coscated JF-Expert Member Nov 17, 2010 2,919 1,968 Jan 11, 2011 #21 si bure huenda itakuwa ni african chemistry.
K Karandanya Member Jan 11, 2011 28 0 Jan 11, 2011 #22 MH,kiukweli swala lako nadhan tiba yake kila cku uwe unacheza tepu mbili za koff olomide na fally ipupa kisipo pona ntafute?
MH,kiukweli swala lako nadhan tiba yake kila cku uwe unacheza tepu mbili za koff olomide na fally ipupa kisipo pona ntafute?
Michelle JF-Expert Member Nov 16, 2010 7,621 3,514 Jan 11, 2011 #23 Pole sana,natumai JF Doctor watakusaidia+fanya maombi.
Ustaadh JF-Expert Member Oct 25, 2009 413 19 Jan 12, 2011 #24 Post hii inaingiaje kwenye "Jamii Photos"?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,316 33,125 Apr 6, 2012 #25 [h=2]Dawa ya Kiuno[/h]1.Uwatu kijiko kimoja kikubwa. 2.Zaatari vijiko vitatu vikubwa. 3.Ubani (Dhukr)mweupe chembe saba. 4.Maji chupa moja. unachemsha pamoja . Matumizi: Robo gilasi kutwa mara tatu.
[h=2]Dawa ya Kiuno[/h]1.Uwatu kijiko kimoja kikubwa. 2.Zaatari vijiko vitatu vikubwa. 3.Ubani (Dhukr)mweupe chembe saba. 4.Maji chupa moja. unachemsha pamoja . Matumizi: Robo gilasi kutwa mara tatu.
mysteryman JF-Expert Member Aug 4, 2011 977 176 Apr 6, 2012 #27 Amavubi said: weka picha Click to expand... hahahaha picha ya kiuno ama????
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Apr 6, 2012 #29 Jaribu phiotherapy au tafuta tiba badili ya viungo
Mbimbinho JF-Expert Member Aug 1, 2009 8,316 7,731 Apr 6, 2012 #30 Tuwekee picha ili tuweze tatua tatizo vizuri
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Apr 7, 2012 #31 Garmaa said: Ndugu zangu ninatatizo la kiuno kuuma huu mwaka wa 5 sasa,nimepima kila kitu lkn ugonjwa hauonekani naombeni msaada jamani nateseka sn. Click to expand... Nadhani ingekuwa poa zaid kama hii thread ungeipeleka katika jukwaa la JF Doctor.
Garmaa said: Ndugu zangu ninatatizo la kiuno kuuma huu mwaka wa 5 sasa,nimepima kila kitu lkn ugonjwa hauonekani naombeni msaada jamani nateseka sn. Click to expand... Nadhani ingekuwa poa zaid kama hii thread ungeipeleka katika jukwaa la JF Doctor.