Chimoto
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 293
- 122
limbwata inakufanya unakuwa kama zombieAfu mkwe ndo anakuaje akishapata hilo limbwata
limbwata inakufanya unakuwa kama zombieAfu mkwe ndo anakuaje akishapata hilo limbwata
sa mkuu hapa c kuongeza matatizo menginelimbwata inakufanya unakuwa kama zombie
We siumeomba ushauria ama?sa mkuu hapa c kuongeza matatizo mengine
We siumeomba ushauria ama?sa mkuu hapa c kuongeza matatizo mengine
Kabisa mkuu watu wakipendana ni vigumu kutenganishwaMioyo ya waliopendana ni ngumu kuitenganisha
Kama ushauri ndo huu bsWe siumeomba ushauria ama?
Mapenzi ya wawili wapendanao sasa yeye watatu vpUsikute huyo Mama wa huyo kijana alimuahidi shoga yake kuwa mwanaye atakujaoa mtoto wake, ndiyo maana Mamaa anachemka kwa kupiga mkwara.
Mapenzi ya wawili wapendanao sasa yeye watatu vp
hufai unaficha makucha..!yani mimi mwenzenu ndo mana kujulikana upande wa mwanaume wakati tuna date nilikuwa sitaki hata kusikia, siku ya kwanza kabisa kuonwa na ndugu wa mwanaume alienioa ni siku wamekuja kuleta mahari napo waliniona kwasababu ilikuwa pia ndo siku ya sherehe ya engagement, lakini isingekuwa ile engagement party wangenionea ukumbini, na kwa kuwa kwa mila zao wazazi wa mwanaume hawatakiwi kuja siku ya mahari basi wakwe zangu waliniona kwa mara ya kwanza ukumbini siku ya sendoff na mimi ndo mara kwanza kuwaona, lakini hao mawifi na mashemeji mara kwanza tunaoana ni kwenye mahari basiiii mara pili kuonana nao ikawa kwenye sendoff na harusi baaasi.
Salama jamani kama uzi unavyojieleza hapo kuna rafiki yangu wa kike kapata mchumba na wanamtoto mmoja hadi saivi mipango ya ndoa wanayotoka siku nyingi Ila tatzo ni mama wa mchumba wake(mama mkwe) hamtaki na hanasababu ya msingi zaidi ya hamuendani,binti mbaya,mara anatabia mbaya na zingine tu za ajabu ajabu na wameshindwa kufanya mipgango ya ndoa coz itakuwa ndoa ya ajabu mama mzazi anasema hata kwa mtutu hawatapata baraka zake labda wafunge akishatoka dunian ila kwa upande wa wazazi wa binti walikuwa tayari kwa ndo ila sasa nao hawataki wanasema hawataki binti yao hakateseke bure ila binti na jamaa wanapendana sanaa tu Naomba kuwauliza wazazi hasa kina mama ni wakwe wa aina gani mnawataka Maoni na ushauri unaruhusiwa kwa ajili ya huyu rafiki yangu kipenzi
We jamaa wa wap umeomba ushauri tumekupa bd unakataa we jini nn?Kama ushauri ndo huu bs
Uswahili hadi kwenye mapenziUnashangaa kina Mama wa Kiswahili?
Mapenzi utaila ukimpata unaempenda hafu mama anakwambia umwache utawezawakati mwingine mama yangu akisema huyu mke hafai huwa namsikiliza.... nina imani mama hawezi kunipoteza ameona mbali..!
Mkuu haya matatizo ni ya kifamilia mm ni rafiki tu binti siwez kwenda kumliza mamkwe wake et anataka mkwe wa aina gankwanini usingeanza na mama wa huyo rafiki yako?