Siyabonga101
JF-Expert Member
- Mar 8, 2016
- 2,424
- 2,297
Za " Uchenjuaji Makanikia" mkuu.zpoje mkuu
Za " Uchenjuaji Makanikia" mkuu.zpoje mkuu
Za " Uchenjuaji Makanikia" mkuu.
Sio wamama,ndo wanawake mlivyo hata hampendani(baadhi)
Sio wamama,ndo wanawake mlivyo hata hampendani(baadhi)
Sawa,ninachomaanisha hapo ni kuwa huyo mwanamke(mama) anamfanyia mtimanyongo mwanamke mwenzie(mchumba wa mtoto wake),hao wote ni wanawake!Achilia kutopendana kwa wanawake hio ni kesi nyingine.. nasemea baadhi ya mama zetu..wengi wamekua vikwazo kwa binti / kijana wake kwa suala zima la uchumba/ ndoa tofauti na wanaume
Cc Smart911
Sawa,ninachomaanisha hapo ni kuwa huyo mwanamke(mama) anamfanyia mtimanyongo mwanamke mwenzie(mchumba wa mtoto wake),hao wote ni wanawake!
tatizo halipo kwa mama mkwee bali tatizo lipo kwa pepo aliye jivaa sura ya huyo mama mkwee!!! solution hapo ni kufunga na kusali ili hivovipingamizi viteketee ndoa haiji kirahis kama tunavofikilia ni kwakusali na kumnuenyekea Mungu ili kama kunavifungo unavo bila wew mwenyewe kujua vikuachieSalama jamani kama uzi unavyojieleza hapo kuna rafiki yangu wa kike kapata mchumba na wanamtoto mmoja hadi saivi mipango ya ndoa wanayotoka siku nyingi Ila tatzo ni mama wa mchumba wake(mama mkwe) hamtaki na hanasababu ya msingi zaidi ya hamuendani,binti mbaya,mara anatabia mbaya na zingine tu za ajabu ajabu na wameshindwa kufanya mipgango ya ndoa coz itakuwa ndoa ya ajabu mama mzazi anasema hata kwa mtutu hawatapata baraka zake labda wafunge akishatoka dunian ila kwa upande wa wazazi wa binti walikuwa tayari kwa ndo ila sasa nao hawataki wanasema hawataki binti yao hakateseke bure ila binti na jamaa wanapendana sanaa tu Naomba kuwauliza wazazi hasa kina mama ni wakwe wa aina gani mnawataka Maoni na ushauri unaruhusiwa kwa ajili ya huyu rafiki yangu kipenzi
Ndo apo sasa mwenyewe nashangaa labda itakuwa alilazimishwa kuolewaHawaendani anaolewa yeye? Ye mme wake nani alimchagulia?
Kabisa mkuu mapenzi ni ya wawiliEnzi za wazazi kuchagua nani aoe/aolewe na watoto wao zilikuwepo lakini kwa ukweli sasa zimepitwa na wakati labda ushauri tu.wazazi tulia wache waoane na huo hakika ndiyo uzazi na ulezi
Kweli kabisa kunahaja ya kufunga na kuombatatizo halipo kwa mama make bali tatizo lipo kwa pepo aliye jivaa sura ya huyo mama mke!!! solution hapo ni kufunga na kusali ili hivovipingamizi viteketee ndoa haiji kirahis kama tunavofikilia ni kwakusali na kumnuenyekea Mungu ili kama kunavifungo unavo bila wew mwenyewe kujua vikuachie
nàamaanisha hakuna jambo zuri utalipata bila kutoka jasho
Hiyo kawaida mkuu akitaka mkwe wa pekee akate mgomba aweke ndaniWalifumaniana itakuwa.
AmenMithali 26:2
"Kama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu."
akafanyaje saMwambie aende kwa mganga
Kutafuta limbwata la wakweeakafanyaje sa
Afu mkwe ndo anakuaje akishapata hilo limbwataKutafuta limbwata la wakwee