yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,378
Makanisa na wenye uhitaji wa ndoa wote wamevurugwa, nimeenda kusali kanisa flani hivi mchungaji kasema wanawake ambao hawajaolewa wasimame
Dah! Dah! Niliogopa wengine walijisahau wakakimbilia mazabauni ilipo kuja hatua ya kusema wanaume ambao hawaja owa wasimame walisimama vijana wadogo ambao naona. Ndani ya miaka miwili iliopita ndio wamepata kipaimara
Wanawake wengi wanatafuta wanaume wakuwaowa makanisani, kwa nguvu na kivuli cha ibadaa
Dah! Dah! Niliogopa wengine walijisahau wakakimbilia mazabauni ilipo kuja hatua ya kusema wanaume ambao hawaja owa wasimame walisimama vijana wadogo ambao naona. Ndani ya miaka miwili iliopita ndio wamepata kipaimara
Wanawake wengi wanatafuta wanaume wakuwaowa makanisani, kwa nguvu na kivuli cha ibadaa