ndugu Wananchi;
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa
mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na
kumuombea apone haraka ili aungane na familia
yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa
taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na
kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo
wake wa huruma na upendo na kwa hatua
alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.
Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari
kuacha mgomo na kurejea kazini. Watanzania
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa
mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na
kumuombea apone haraka ili aungane na familia
yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa
taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na
kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo
wake wa huruma na upendo na kwa hatua
alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.
Naomba kumaliza kwa kuwasihi madaktari
kuacha mgomo na kurejea kazini. Watanzania