Jamani huyu Mbui Twite anatuangusha wana Yanga

Jamani huyu Mbui Twite anatuangusha wana Yanga

ngangali

Member
Joined
Nov 29, 2010
Posts
98
Reaction score
19
SIMBA SC 2-0 JKT RUVU (Amri Kiemba,Haruna Moshi) FT; MTIBWA SUGAR 3-0 YANGA (Dickson Daudi 11, Husein Javu 45,77) DAKIKA 90;
 
acheni kuumiza akili! sogeeni kideoni 21:45 muangalie soka na wanaosajili wachezaji, na si uhuni wa soka la bongo
 
Du huu mwaka nimefulia kiushabiki, kule Uingereza nipo na Liverpool na hapa nyumbani nipo na Yanga sasa sijui nikimbilie wapi
 
SIMBA SC 2-0 JKT RUVU (Amri Kiemba,Haruna Moshi) FT; MTIBWA SUGAR 3-0 YANGA (Dickson Daudi 11, Husein Javu 45,77) DAKIKA 90;

Mbuyi Twite changanya na Kevini Yondani nyunyizia Kavumbangu katia na Chuji usisahau Kiiiiiiiiiiiizaaaaaa yoooooooooote 9 kumi tatizo ni kocha kuvaa heleni na kumlazimisha alale kitanda kimoja na Afisa habari Sendeu, bado analalamika na kitendo alichofanyiwa na Sendeu kulala kitanda kimoja na kuoga maji ya ndoo kwa mikono kabla haja omba kopo la kuogea chumba cha pili.....

 
Mbuyi Twite changanya na Kevini Yondani nyunyizia Kavumbangu katia na Chuji usisahau Kiiiiiiiiiiiizaaaaaa yoooooooooote 9 kumi tatizo ni kocha kuvaa heleni na kumlazimisha alale kitanda kimoja na Afisa habari Sendeu, bado analalamika na kitendo alichofanyiwa na Sendeu kulala kitanda kimoja na kuoga maji ya ndoo kwa mikono kabla haja omba kopo la kuogea chumba cha pili.....


Hilo kweli pilau!!
 
Usajili wa magazetini huo.. Rage kawaingiza choo cha mademu.. Mkajua Mbui & Yondani ni ukuta wa Berlin..
 
Hii kweli Klinishiti kwa wana yanga yani hawajafunga tu mpaka leo?
 
Hee kumbe hii team ya mtaa wa 2 ina Mashabiki wengi namna hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kocha yule siku zake zinahesabika kwa kweli!!!ataijuaa fitna na mpira wa kitanzania!
 
Hee kumbe hii team ya mtaa wa 2 ina Mashabiki wengi namna hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

nilikwambia utafunga domo lako unaona sasa kwisha habari yenu na hapo timu haija kaa pamoja zaidi ya wiki mbili..
 
Back
Top Bottom