dos santos
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 256
- 128
BIRman hilo ndio tatizo kubwa kwa wanawake walioolewa.
Wanajisahau sana, wengi waliokushauri hapa sio watu wa ndoa.
Na pengine hawana uzofu na jambo hilo.
Dawa yake huyo kama dini yakoinaruhusu kuongeza mke
kaoe mwingine.Atazinduka atajitambua.
Ni ushauri uliojaribiwa.
Wanajisahau sana, wengi waliokushauri hapa sio watu wa ndoa.
Na pengine hawana uzofu na jambo hilo.
Dawa yake huyo kama dini yakoinaruhusu kuongeza mke
kaoe mwingine.Atazinduka atajitambua.
Ni ushauri uliojaribiwa.
Hapana Kiwese. I'm very serious. Issue sio kutoshelezana wala nini. At one point wanawake huota mapembe tu na solution tunazichelewesha kwa kuhofu lawana......assistant!!!!! Trust me, kama umeoa utakuja ona. By the way huu ni mwaka wa 9 kwenye marriage yangu hivyo ninaongea kwa data..
Last edited by a moderator: