Jamani huu ujeuri utanichepusha sasa

Jamani huu ujeuri utanichepusha sasa

BIRman hilo ndio tatizo kubwa kwa wanawake walioolewa.
Wanajisahau sana, wengi waliokushauri hapa sio watu wa ndoa.
Na pengine hawana uzofu na jambo hilo.
Dawa yake huyo kama dini yakoinaruhusu kuongeza mke
kaoe mwingine.Atazinduka atajitambua.
Ni ushauri uliojaribiwa.
Hapana Kiwese. I'm very serious. Issue sio kutoshelezana wala nini. At one point wanawake huota mapembe tu na solution tunazichelewesha kwa kuhofu lawana......assistant!!!!! Trust me, kama umeoa utakuja ona. By the way huu ni mwaka wa 9 kwenye marriage yangu hivyo ninaongea kwa data..
 
Last edited by a moderator:
Hii sio fresh kabisa!!! Nikitaka hanipi, nikilazimisha nabaka, nikiomba asubuhi sithamini usingizi wake..yaani kupata ni mpaka ninyemelee nijipendekezeshe.....eti sasa joto siku hizi ndio kabisaaaa......
Lakini nimwangalia hausigeli anaana kuiva iva - kashakunywa lita kadhaa za mfuta mabichi ya kupika. Kusem ukweli nishaanza kumtamni, na il nisijidhalilishe, sasa nina tengene contact list mpya kwenye simu - you know what it is for.
Wanawake wote wenye sifa kama za huyu mnatutia ibilisi, mnatukwaza!!!! Elimikeni, fumbueni mabichwa yenu, jitambueni na mtambue mjukumu yenu, yatekelezeni!!!!!! Mburulaaaz akiona mme kachepuka itaanaza kuwa visa ndani ya nyumba, so what should a brother do!!!!!

Wewe ndio hutekelezi majukumu yako ukitekelekeza majukumu yako huyo atakupa asubuhi mchana jioni jitathmini vizuri na usifikiri umeoa kipofu au chuma na yeye ana macho kuna wanaume wanaomvutia pia sobusifikiri ni wewe ndio una macho peke yako. Linda ndoa yako na wtt wako jitathmini vizuri
 
Dos Santos heshima kwako. Nakubaliana na wewe 100%!!!! Now officially - wana JF natafuta mke...mmmh....anyone interested???????
 
Kama kuna joto ndio mzichange mnunue ac


Hii sio fresh kabisa.

Nikitaka hanipi, nikilazimisha nabaka, nikiomba asubuhi sithamini usingizi wake, yaani kupata ni mpaka ninyemelee nijipendekezeshe eti sasa joto siku hizi ndio kabisaaaa.

Lakini nimwangalia hausigeli anaana kuiva iva - kashakunywa lita kadhaa za mfuta mabichi ya kupika. Kusema ukweli nishaanza kumtamni, na ili nisijidhalilishe, sasa nina tengeneza contact list mpya kwenye simu - you know what it is for.

Wanawake wote wenye sifa kama za huyu mnatutia ibilisi, mnatukwaza elimikeni, fumbueni mabichwa yenu, jitambueni na mtambue mjukumu yenu, yatekelezeni.

Mburulaaaz akiona mme kachepuka itaanaza kuwa visa ndani ya nyumba, so what should a brother do.

Halafu inawezekana mkeo ana mikazi hapo ndani analala saa nane saa tisa unanwamsha kutaka dudu


Hebu kaeni mzungunze mjue tatizo lipo wapi mlitafutie uvumbuzi

La sivyo unatafuta tu visingizio umlambe hg
 
Ukiwajua wanawake vizuri utaishi kwa raha bila wasiwasi, kumbuka hisia za wanawake kingono ziko mbali tofauti na sisi wanaume. Hata mimi mwanzo ilikuwa hivyo ngoma kila ngoma ikisimama inataka kuchovya sasa mwishowe inakuwa kero. Kaa nae vzuri utamuelewa tu, usipelekeshwe na tamaa za kingono kwenye ndoa maana ndoa ni zaidi ya ngono mna mambo mengi ya kufanya
 
Nitonye nimeoa, siruhusiwi kwenda na nyege kazini.
 
Wewe ndio hutekelezi majukumu yako ukitekelekeza majukumu yako huyo atakupa asubuhi mchana jioni jitathmini vizuri na usifikiri umeoa kipofu au chuma na yeye ana macho kuna wanaume wanaomvutia pia sobusifikiri ni wewe ndio una macho peke yako. Linda ndoa yako na wtt wako jitathmini vizuri

Huko ni kumtetea mwanamke mwenzako na kama ni misemo basi ni ule wa muwamba ngoma..... tumia data ulizopewa kujudge sio kutumia assumption zako kisa anayelaumiwa ni mwanamke kama wewe. Be objective bana.
 
Huko ni kumtetea mwanamke mwenzako na kama ni misemo basi ni ule wa muwamba ngoma..... tumia data ulizopewa kujudge sio kutumia assumption zako kisa anayelaumiwa ni mwanamkekama wewe. Be objective bana.

Sitetei mwanamke unless kama ameoa mad woman lakini kwa mwanamke anayetunzwa vizuri sio rahisi kukunyima unyumba ndio maana namwambia ajitathmini kuishi na mwanamke kunahitaji akili
 
Penzi haliombwi...jifunze foreplay....jifunze jinsi ya kumuweka kwenye mood ya kufanya. Hivi unaombaje kufanya mapenzi.. ndo wale rara nikurenge....duuh hebu kuwa mjanja kidogo... Birdman
 
Ongea naye tu mbona wanawake waelewa sana. Kuliko kuanza kutafuta michepuko, nakuambia utasahau familia kama umeanza michepuko. shauri yao na kwataarifa yako michepuko sio suluhisho la hilo tatizo lako.
 
Haki ya nani watu wamenifungulia darasa seriously 🙂 🙂 🙂.......9 years ukiona leo ninalalamika basi jua it's genuine. Jamani for all that time in marriage haiwezekani nikawa sijui mapenzi. Huyo kanichefua, ngoja nijianzishie tu visa visa you never know naweza bahatisha ngoma ya Ki-Tanga. Ala!! Who wants a stressful life these days.
 
hawa wanawake hawa, basi tu, na mie yananikuta na tena na mkono unasukumwa huko, kisa hataki usumbufu
 
Back
Top Bottom