Eiyer. Labda nikukumbushe kidogo kuhusu huu mjadala wetu.kahtaan ,
Unaponiuliza kuhusu Mungu ninaemuabudu mimi,unatakiwa uniulize mimi ni Mungu wa aina gani huyo ninaemuabudu
'
Hii maana yake ni kuwa "difinisheni" ya Mungu ninaemuabudu ninaijua mimi na sio wewe,unaponiambia mungu ambae sijui yuko hivi au vile huyo atakuwa ni wa kwako na sio wangu,wangu ninamjua mimi,na ni mimi pekee ninaeweza kumuelezea
'
Halafu Mungu wangu unamtakia nini?Kwanini unataka kumjua?Ili iweje na kwanini?
Tatizo bw. Max wewe umezoea kukalili bila kuyafanyia kazi hayo uliyo kariri. Hii inanifanya nikuweke ktk kundi la wale manabii wa uwongo alie watabiri Bw Yesu. Unajua umehangaika sana kutafuta bible nzima kulitafuta andiko linalo thibitisha uungu wa Yesu lakini ume kosa, nakuamua kuja na ngonjera. Bado maandiko uliyo yatoa hayaja thibitisha kua Yesu ni mungu wala Yesu ni mwana wa mungu. YESU SI MUNGU.
muombe mungu kabla ya kulala na baada ya kuamka nunua biblia weka ktandan ulale nayo..ita wachungaji waifanyie maombi nyumba ni mapepo hayomuamin bwana wa majeshi atakuponya
Nework haiko vizuri huku kwetu, najibu kwa ujumla tafadhalini:nieajiiliwa na taasisi moja baada ya kufaulu usaili
nna mahusiano mazuri na majirani,sijaamua kuwa na rafiki kwa ajili ya mahusiano ya kimapenzi ..hivyo.. sina kabisa.. ila naongea sana na watu wengi wanawake kwa wanaume.
Nafasi za utata:
Ninapoishi, kuna muda nilijadiliana na mwenye nyumba juu ya umeme kwa kuwa sikuwa naridhika sana na kiasi cha kulipa, tulichukua muda kidogo kuridhiana hali hii ilinitokea ingawa ni kwa kiasi kidogo. sijawahi kunotice kama tumetofautiana na huyu bwana ila mtu yeyote anaweza tambua hali iliyyopo na tofauti. kuna siku kijana niliyekuwa nakaa naye aliripoti kwamba mwenye nyumba amesema tunawasha friji kwa siri ndani kitu ambacho kilikuwa si sahihi kabisa kwa kuwa yalikuwa ni makubaliano yetu na ndivyo nilivyofanya.. sasa katika hali kama hiyo kwa kuwa hakunambia moja kwa moja yawezekana tunakuwa tumetofautiana (pengine niko biased).
Ofisi yetu ni ya nayo ina matatizo kias tofauti huwa zinatokea kama mnavyofaham ofisi zilivyo.
Net work inasumbua. asante kwa ushauri na mawazo.
Eiyer unaoneka unaiga ile tabia ya mwenzako MaxShimba .
Unalikimbia swali kwa kuleta swali!!
Na hii si tabia ya kistaarabu na si ya msomi.
Nimekuonyesha mifano chungu mzima kutoka Ndani ya biblia inayoamrisha kuabudiwa MUNGU NI MMOJA.
Nimekutolea visa mbalimbali kikiwemo cha ibrahim na mwanae aliyetaka kumchinja! ambavyo vyote vinafana baina ya biblia na quraan.
Kwenye uzi wako hapo nyumba ulikubali kuwa MUNGU WA KWELI NI MMOJA TU!
Ok! Wewe kataa kuwa ibrahim wa quraan sio abraham wa bible. Au jacob wa bible sio yakub wa quraan. Au eshmail wa bible sio ismail wa quraan. Au marry wa bible sio mariam wa quraan.
Kataa vyote nilivyo kuonyesha toka ndani ya quraan.
Lkn kama wewe unajiita mkiristo! Basi huna budi kukubali yaliomo ndani ya BIBLE!.
NAKUULIZA HILI SWALI KWA MARA YA NNE!
biblia ina kuamrisha wewe Eiyer uabudu MUNGU MMOJA TU.PEKE YAKE.
sasa je! UNAABUDU MUNGU MMOJA TU.
AU YESU PIA NI MUNGU KWAKO???
Naomba uwe mkweli. Kukimbia swali kunaonyesha udhaifu wako kitu ambacho wale wanaofuata uzi huu wanapunguza heshima kwako.
Na kujibu swali lako la mwisho kuhusu kuamini biblia kuwa yoote kuanzia mwanzo mpaka ufunuo. Ni maneno ya MUNGU?!
Jibu ni
HAPANA! SIAMINI KUWA BIBLIA YA AGANO JIPYA YOOTE NI MANENO YA MUNGU!!
Naamini baadhi ni ya mungu na mengine ni ya watu kama wewe na mimi.!
NITAKUPA SABABU MOJA TU HAPA.
LKN NINAZO NYINGI KAMA UTAZIHITAJI!
Kuna mtu anaitwa Paulo ambae tunaona kwenye agano jipya. Yeye ndio mwandishi mkuu.
Tukisoma biblia tunaona kuwa;
Huyu paul. Alikuwa hatambuliwi na wanafunzi YOYOTE wa Yesu!
Utaona kuwa katika sehemu 22 ambazo paulo katajwa kama NABII ndani ya biblia.
NI SEHEMU 2 TU. AMETAJWA NA MTU ASIYEKUWA YEYE.!
Mara zote 20 zilizobaki kajiita mwenyewe kuwa ni NABII.
Na huyo alimwita mara hizo 2 kuwa ni nabii NI MTU MMOJA TU! AMBAE SIO MWANAFUNZI WA ASILI WA YESU.!
BALI ni rafiki yake paulo aliyekuwa nae safarini na aliyekuwa karani wake aitwae LUKA!
Na ktk sehemu zote 2 utazikuta ktk
Matendo ya mitume 14: 4-14.
Kwa mfano huu tu! Tunaona kuwa mbali na yeye kujipa na kujiita nabii mara 20. Ktk biblia ni mara 2 tu ameitwa nabii na mtu tofauti na huyo pia ni karani wake!
Mtu ambae Yesu hamtambui. Wanafunzi wa Yesu hawamtambui!.
Nani alimpa utume?!
Hakuna ushahidi wowote zaidi ya madai yake binafsi.!
Mtu kama huyu huwezi kuamini maneno yake yametoka kwa MUNGU!.
Na huo ni mfano mmoja tu wa udhaifu wa paulo. Sina muda wa kukuandikia yote.
SASA NASUBIRI JIBU!
JE! UNAABUDU MUNGU MMOJA TU!
AU UNAO ZAIDI YA MMOJA!
Asante kwa kusoma.
Suala sio Mungu kuingia mtaani akaanza kuponya watu!
Hayo ni malumbano ya taahira!
We unasema damu ya yesu ni kiboko yao!. Sio??
Sasa;
Pale muhimbili kuna wagonjwa weeengi mno ambao kwa mtazamo wako woote wana pepo mchafu! Na labda wengi wao wamepewa majini na waislamu.
Sasa wee wafanyie msaada. Manake kwanza wewe ni mchungaji na hiyo dawa unayo. Sasa we Peleka kiboko yao. Hio damu ya yesu!.
Halafu ukishawafukuza hao pepo wachafu nitumie ripoti nikupe heko.
Na zawadi!
Kama hukutoroka bila suruali!
Na msalaba wako umetangulia mbele!
Hahahahaha!😀😀
Dah, mkuu kahtaan nakushauri tu, achana na huu ubishi wa Imani! Acha watu waamini katika imani yao na wewe amini kwa imani yako. Nadhani ningeona busara yako kama ungemshauri mtoa huu uzi kuhusu jinsi ya kutatua tatizo lake na sio kukashifu ushauri wa watu wengine hasa imani yao!!
Kunywa viroba kabla ya kulala.
kahtaan ,
Again you make me smile,anyway it doesn't matter
'
Ngoja "nikujibu" swali lako,NINAMUABUDU MUNGU MMOJA kwa mujibu wa BIBLIA Takatifu
'
Nadhani sasa ni wakati wako wa kujibu swali langu,
'
Mwana wa ahadi ni nani?
'
Na ahadi hiyo ni ipi?
'
Mtazamo wako kuhusu Mtakatifu Paulo,na mtazamo wako kuhusu Biblia takatifu tutaujadili baada ya wewe kujibu maswali yangu hayo!