Jamani huu si uchawi saidia

Status
Not open for further replies.
Dah! Kikwajuni one ,unaufanya mjadala kuwa mgumu sana
'
Wakati mwingine mtu anashindwa kukuelewa,mimi nimeongea kitu kingine wewe unazungumza kitu kingine
'
Ngoja nimsubiri kahtaan huenda nikamuelewa
'
Wewe sikuelewi kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer kuna swali muhimu nimekuuliza hapo juu! Lkn naona jibu sijapata!
Na mbali ya jibu. Umenichanganya kabisa na maelezo yako hapo chini ambayo yamezaa swali lingine la nyongeza.
Mwanzo nilikuuliza je! UNAAMINI MUNGU MMOJ??
Jibu lako ni "NDIO " na ukakubali kuwa huyo MUNGU MMOJA anaitwa YEHOVA"
Kabla hatujafika mbali! Unasema kuna Mungu mwingine anaitwa Yesu! (Umesema yesu ni mungu na ni mwana wa mungu). Eiyer unapotoa hoja yyt lazima uwe na msimamo. Usiwe mara MUNGU MMOJA mara kuna mungu yehova na mungu yesu.

Nakuuliza tena! Je! UNAAMINI YESU NI MUNGU NA YEHOVA NI MUNGU (mungu wawili)??
AU
MUNGU NI MMOJA TU??

NA
JE! UMEKWISHA WAHI KUSOMA QURAAN KTK MAISHA YAKO??
 
Last edited by a moderator:
Naona sifa za munguwako hizo hapo juu umepewa na Mtumishi Maxi

Huyo unae muita mtumishi. Elimu yake ni kama mwakijiji alionjeshwa pipi mara moja tu! Halafu akarudi kijijini!
Basi yeye katika dunia hii kitu kitamu anajua ni pipi tu!.
Kumbe kuna ice creams. Chocolates. Na vingine vingi tu!

Anaropoka kama kawaida ya wanaokula kiti moto.
Anakopi maneno asio jua maana. Halafu anatoa conclusions.
Na hii ni typical hypocrisy!
Ukiwa huna confidence ya maneno yako.
Basi lazima ukimbilie kwenye conclusions kabla hujachapwa bakora na waliokwenda shule.!!
Sasa huenda akawa kweli ni mtumishi wa mtu! Anaemlipa mshara mbuzi ili aseme uongo!!

Lkn asikudanganye anamtumikia Yesu.

Maanake Yesu hajawahi kukutana na wahaya waongo kama huyo MaxShimba !! Bukoba hajawahi kufika!!

Teh teh teh teh teh!!!
 
Last edited by a moderator:
Unapotea mda kukopi mambo ambayo majibu yake yamo kwenye website husika,acha kupoteza mda,ww google,utakuta majibu,wenzako walileta hizo hoja toka miaka ya 90,wamejibiwa hawana la kujibu,wewe ndio waona ni mambo mapya.
 
Kijana kalale na biblia, iyo kitu hutaiona tena, iweke chini ya mto unaolalia
 
We shal see the Jesus,how he was
Ordering the KILLINGS of many people
Zephania 2;12-15
You Ethioians wil also be slaughtered by my sword .Says the Lord.And the Lord wili srike the land of the earth with his fist .He will destroy Assyria.
 
We shal see the Jesus,how he was
Ordering the KILLINGS of many people
Zephania 2;12-15
You Ethioians wil also be slaughtered by my sword .Says the Lord.And the Lord wili srike the land of the earth with his fist .He will destroy Assyria.

Jesus on Old Testament??!!!!

Umevimbiwa ukwaju wewe mfusi wa Allah kipofu.
 

Mkuu kahtaan, huyu Muchungwaji MaxShimba hana hoja hata kiduchu!

Kazi yake ku-copy na ku-paste hoja zilizowahi kujadiliwa kwenye tovuti mbali mbali na wenzie Wakashindwa kwa hoja hizo dhaifu na kuwafanya waingie kwenye dini yetu ya kweli!

Nawe muchungwaji MaxShimba unakaribishwa, husione aibu kuijua kweli tehe tehe tehe!
 
Last edited by a moderator:
...........Huyo jamaa MaxShimba anatupia craps hata yeye mwenyewe hazielewi !?:laugh:
 
Reactions: Izz
...........Huyo jamaa MaxShimba anatupia craps hata yeye mwenyewe hazielewi !?:laugh:

Tena kupita kiasiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Amebaki peke yake!
Wagalatia wenzake wote wameruka ukuta!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huu ni mchanganyiko wa akili!

Na kama hiki kingekuwa chakula!

Basi atakae kula lazima afe! Manake lazima itakuwa sumu!
Teh teh teh teh teh!!

Toa andiko ukanushe kama hamsemi yesu ni Mungu,hapo waona anavyouwa watu wasio na hatia.
 

Mkuu Izz huyu MaxShimba ambae kwa jina jingine ni Nasi Babi
Anaongea vitu halafu anajikana mwenyewe!
We soma tu uzi zake hapo juu!
Kuna moja anasema allah hana macho wala maskio . Halafu ya chini yake anasema allah anafanana na adam!?!?!
Sasa huyo adam ana uso bila macho na maskio???
Teh teh teh !
Na hapo hakuna mtu kamuuliza kitu!
Anajichanganya mwenyewe tu!

Sasa kama sio kuchanganyikiwa ni nini ?!?!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Last edited by a moderator:
Jesus says he has come to destroy families by making family members hate each other.He has come not to send peace,but a sword ,Matthew 10;34
 
Families will be torn apart because of Jesus ,Brother shall deliver up the brother to death,and the father the child,and the children shall ruse up against their parents ,and cause them to be put to death .Matthew 10;21
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…