ESPIRIT
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 665
- 524
Mimi nina umri wa miaka 27 sijaoa, huwa nina hisia za haraka sana.
Nikigusana na jinsia ya kike huwa uume husimama ,hata nikiwa naongea na rafik yangu wa kike huwa uume husimama.
Nakumbuka siku 1 natoka kariakoo ili nishuke magomeni usalama,nikashndwa kushuka kwa kuwa uume ulikuwa umesimama,nilikuwa nimekaa na mdada.
Nikaenda kushuka manzese darajani. Huwa mda mwingne nakosa raha. Ndg wana JF, huu ni ugonjwa au nguvu za kiume zimenizidi?. Naombeni ushauri wenu kwa kweli ili nisije aibika .
Natangulia kutoa shukrani,kwa mtakaonipa ushaur nini cha kufanya. MUNGU awalinde.
Nikigusana na jinsia ya kike huwa uume husimama ,hata nikiwa naongea na rafik yangu wa kike huwa uume husimama.
Nakumbuka siku 1 natoka kariakoo ili nishuke magomeni usalama,nikashndwa kushuka kwa kuwa uume ulikuwa umesimama,nilikuwa nimekaa na mdada.
Nikaenda kushuka manzese darajani. Huwa mda mwingne nakosa raha. Ndg wana JF, huu ni ugonjwa au nguvu za kiume zimenizidi?. Naombeni ushauri wenu kwa kweli ili nisije aibika .
Natangulia kutoa shukrani,kwa mtakaonipa ushaur nini cha kufanya. MUNGU awalinde.