janeth1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,151
- 768
My love unasemaa?
Nimeshituka huyo hapo juu nani sijui kakuita Mme wangu sijui anataka kukuambia nini?
My love unasemaa?
tuwe bikra hadi sahv tuna matatzo gani ya kimaumbile??!!!!
Niambie baba paroko
tuwe bikra hadi sahv tuna matatzo gani ya kimaumbile??!!!!
hahahaha! best ujue we mchokozi sana.
huu msako inaonekana ni wa mwaka mzima!!!
nakweli maana uchaguz wa watu waliojitokeza lazima uwe wa muda mrefu maana.......
Husninyo bado tu?
hahaha! nyie hii thread mbona mnaifufua kila baada ya muda. lol
ntawapa mrejesho. bado napokea application. ahsanteni wote mlioshow interests.
hahaha! nyie hii thread mbona mnaifufua kila baada ya muda. lol
ntawapa mrejesho. bado napokea application. ahsanteni wote mlioshow interests.
KESHAPATA KWANI ULIMeep:
nakweli maana uchaguz wa watu waliojitokeza lazima uwe wa muda mrefu maana.......