Jamani Husninyo anatafuta mchumba

Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 Amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. Anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. Anizidi urefu
5. Anizidi umri, tafwadhali usiwe kibabu
6 Asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
Vipi kuhusu dini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amechokaje kukumbatia midoli!!
hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa!

sifa za anaetafutwa

1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna zangu.
2 Amzidi husninyo elimu, usiogope sana nina kidigrii tu cha hapa hapa ndani
3. Anizidi kipato, usiogope sana, mkoloni wangu baba yake mchaga mama yake muhindi.
4. Anizidi urefu
5. Anizidi umri, tafwadhali usiwe kibabu
6 Asiwe na pozi, mtoto wa kiume hutakiwi kuwa na mbwembwe

Maombi yako yaambatane na maelezo ya kujitosheleza, kucheki afya muhimu. nipo serious msilete utani. uwiiiiii usingle girl unaniua.
Bado hujaanza kutumia kibomba cha chooni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom