Jamani huku dagaa tayari zimeanza tusilale kizembe ziwa la watanzania

Jamani huku dagaa tayari zimeanza tusilale kizembe ziwa la watanzania

Mtumishitu

Member
Joined
May 2, 2022
Posts
86
Reaction score
139
Habari zenu wana jamii hili jukwa limekuwa pendwa kwangu kwa maana imekuwa sehemu rahisi ya kukutana na watu wapya na wateja wapya hivyo sina budi ya kushukuru waanzilishi wa hili jukwa.

TWENDE KWENYE DHUMUNI.
Kesho tarehe 18 April 2025 uvuvi unaanza rasmi kwa kifupi GIZA hii ni baada ya kusimamishwa uvuvi yaani MBALA MWEZI kwa muda mfupi ambayo hii ni kawaida kila mwezi .

Mali ziwani nyingi mno kwa wateja wangu na wale wapya SIMU zianze kupigwa kuanzia tarehe 19 kwa bei na maelekezo zaidi.
0657886964
1000028275.jpg




KWA WALE WANAO HITAJI DAGAA TAFADHALI NIPIGIE 0657886964.
SMS SITOJIBU HIVYO PIGA SIMU HIYO.
 

Attachments

  • 1000028275.jpg
    1000028275.jpg
    546.6 KB · Views: 24
Duuh,. Naonaga wengine huku dagaa nyasa wanawekewa yale mabarafu
Au huko ni mbali sana
baby mi si nipo nawewe lakini sasa mi habari za nyasa nazijulia wapi..?
 
Back
Top Bottom