Naona hao watu wawili(mashuhuda) wanashindwa kushangaa.
Unajua wahindi wanazikana kwa kuchomana moto. Hapo ni petroli au diseli na hizo bomba za plastic (raba). Wanahitaji kiberiti tu, wanafanya mazishi hapo hapo.
Lakini naona moshi mwingi tayari chini ya lori nafikiri mazishi ndio yameanza hapo.
1. Lori limepiga breki ghafla, na mabomba yaliyobebwa nayo yamesonga mbele kwa ghafla yakatoboa bodi(kichwa) kwa nyuma na kutokea mbele.(Newton's first law of motion)
2. Mbele kulikua na lori jingine lenye mabomba, lori la nyuma huenda limefail breki au dereva kachelewa kufunga breki then ndio ajali ikatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.