VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 671
Mshahara wake ni shing ngapi???
mishahara inatofautiana sana katika taasisi mbalimbali, ungetakiwa kuuliza mshahara wa mwalimu mwenye degree unaanzia kwa kiasi gani kwenye taasisi fulani let say shule za St Mary's au serikalini.
Ungeweza kueleweka.
what? Wewe ni mwanafunzi wa kitivo cha elimu? Maana inawezekana unataka kujua na unawasiwasi kulingana na maneno ya watu unayosikia.
Tanzania au ulaya??1,200,000/=
Tanzania au ulaya??
nimemaliza udom bsc-ed(chemistry&biology),physics pia mkali!natafuta shule itakayonilipa laki8.5 niweke mkataba kabisa maana serikali naona wanaleta utani!kama utanihitaji nishitue npo tayari kuanzia sasa sabu npo home tu!
nimemaliza udom bsc-ed(chemistry&biology),physics pia mkali!natafuta shule itakayonilipa laki8.5 niweke mkataba kabisa maana serikali naona wanaleta utani!kama utanihitaji nishitue npo tayari kuanzia sasa sabu npo home tu!
nimemaliza udom bsc-ed(chemistry&biology),physics pia mkali!natafuta shule itakayonilipa laki8.5 niweke mkataba kabisa maana serikali naona wanaleta utani!kama utanihitaji nishitue npo tayari kuanzia sasa sabu npo home tu!
Serikalini Mwalimu mwenye Degree mshahara wake ni ngazi ya TGTS D. 1 ambayo ni 589,000/=Kwa upande wa SERIKALINI NI SH NGAPI?
Na private ni sh ngapi? MKUU
TUMESITISHA KUAJIRI WATU WALIOSOMA Udom degree ya education
nimemaliza udom bsc-ed(chemistry&biology),physics pia mkali!natafuta shule itakayonilipa laki8.5 niweke mkataba kabisa maana serikali naona wanaleta utani!kama utanihitaji nishitue npo tayari kuanzia sasa sabu npo home tu!
nimemaliza udom bsc-ed(chemistry&biology),physics pia mkali!natafuta shule itakayonilipa laki8.5 niweke mkataba kabisa maana serikali naona wanaleta utani!kama utanihitaji nishitue npo tayari kuanzia sasa sabu npo home tu!