Jamani hii website ya JKT HOOOOOVYO KABISA!

Jamani hii website ya JKT HOOOOOVYO KABISA!

Mlendamboga

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
670
Reaction score
347
: http://jkt.go.tz/mujibu-tatu.html
Tangu juzi vijana wanahangaika kuangalia majina yao wapi wajitupe kuhudhulia mafunzo ya ukakamavu kwa mujibu wa sheria lakini website ya JKT www.jkt.go.tz imekuwa kero, haifunguki, na ukienda kwenye hiyo link ya hapo juu inakwambia
[h=1]Bandwidth Limit Exceeded[/h] The server is temporarily unable to service your request due to the site owner reaching his/her bandwidth limit. Please try again later.
Apache Server at jkt.go.tz Port 80

kaazi kweli kweli mnawatesa wadogo zetu bana! deadline 28 sept, halafu mtu hajaona jina lake anakwenda wapi au ndiyo mafunzo yenyewe yameanza hivi kwa kuhangaishana?
 
hiyo tatizo lako..sema usaidiwe sio kuwatusi wakuu..chukua majina haya hapa..ila kumbuka mmepewa option ya kuahirisha mafunzo hadi utakapomaliza masomo
 
Shukrani analogia, umefanya kazi ya uzalendo kuliko jeshi lenyewe hiyo website haifunguki ndiyo ukweli! nakushuru nami naendelea kuwasaidia vijana hapa
Respect analogia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom