Jamani hii picha imenihuzunisha

Eh! Leta mi nitamleaaa usitoe mimba yangu...
 
Mbona huyo mtoto ana hirizi mkononi?itakuwa baba ana imani za kishirikina!
 
Huu ushirikiana Tanzania unatisha kwa nini wanamfundisha ushirikina bado mtoto.
Hakika wanamhitaji YESU.
 
Mbona huyo mtoto ana hirizi mkononi?itakuwa baba ana imani za kishirikina!

Baba diamond unategemea nini?
Sio ajabu na kiunoni ana bonge la hirizi pia.
Siwezi kufanya huo upumbavu,ni aibu sana kuona watu hadi leo wanaendekeza imani za kishirikina.
 
Zari ni mzuri wandugu daah...hiyo ingine kama imelapuliwa makonde iko vimbavimba uso hio
 
Aise dada zetu kuweni makini katika pitapita zenu maana mwisho ya yote unakosa mtoto ile hali uko ndani ya ndoa
 
Naona ujumbe huu na picha umetumwa kwa mmoja wa waigizaji wanaozunguka kumnadi makomeo.sepetu.com
 
Sku hiz maduu wanaona kutoa mimba ni ka kwenda haja kubwa tu hii ni laana mwanamke karaaniwa pakubwa sana siwashangai sana
 
Jamani msikariri kuwa kila anayetoa mimba anakuwa hasa kuna watu wameolewa mabikra n'a hawajazaa mi kuna mtu namfahamu katoa mimba.si chini ya 8 n'a ana mtoto n'a ana mimba nyingine Acheni kuhukumu kwamba waliozaa Ndio walikuwa wasafi n'a matasa wametoa mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…