Mwenyekiti wa kamati ya mazishi ya Kanumba Mtitu G,amesema kuwa wao hawajachakachua pesa na michango mbalimbali iliyotolewa kwa ajili ya msiba wa Kanumba.
MTITU amesema kuwa kamat yake ilianza ikiwa haina hata sh 100,hivyo ilianza kwa gharama za wajumbe,
amesema kuwa jumla ya sh mil 70,502,000 walikusanya,na 52,102,000 wametumia,
pamoja na matumiz mengine,MTITU anasema pesa iliyobaki ni shiling milioni 4 na wamempa mama K the Great.....
Pia amesema Kanumba hajaacha mil 700 kama inavyodaiwa.
Sosi:HABAR LEO
MTITU amesema kuwa kamat yake ilianza ikiwa haina hata sh 100,hivyo ilianza kwa gharama za wajumbe,
amesema kuwa jumla ya sh mil 70,502,000 walikusanya,na 52,102,000 wametumia,
pamoja na matumiz mengine,MTITU anasema pesa iliyobaki ni shiling milioni 4 na wamempa mama K the Great.....
Pia amesema Kanumba hajaacha mil 700 kama inavyodaiwa.
Sosi:HABAR LEO