Jamani hashiki

Jamani hashiki

Ndio tumefanya ivo, maana analalamika kachoka kuishi pasi mtoto ,

Inawezekana tatizo lipo kwako ndugu....ngoja nikupe kipimo kizuri....chukua Revola (sabuni ya kuogea) na karatasi nyeupe kabisa isiyo na maandishi....jipige puchu kisha kojolea humo kny karatasi, weka zikauke kwa mda...ukikuta zimeganda kwny karatasi tambua kwa Upo fiti ila karatasi ikikauka as if ulimwagia maji hapo punguza kidomo domo....
 
Upo nje ya nchi?? Angepataje hiyo mimba. Pia nakuuliza tu swali la kizushi; Unataka mtoto au mke wa kumwoa? Jitahidi saana utofautishe mke na watoto. Huwa tunaoa mke hatuoi watoto. Mtoto/watoto ni kudra ya Mwenyezi Mungu si kigezo cha kuoa. Weye waujua uchungu wanaoupata kwenye juzaa?
Oa mke. kakae naye kwa amani na furaha, mtoto ni majaaliwa na kama una hamu saana na mtoto, mbona mayatima ni wengi tu tena hata wa siku moja.
 
Habar wana jf?, da! Simuliwa omba yasikukute , nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga ndoa mwaka kesho kutwa, ila kuna tatizo ambalo linanisumbua sana , hashiki mimba huu ni mwaka wa tatu sasa najaribu lakini wapi , naombeni msaada nifanyaje mie, Na ninampenda sana , pia napenda kuwa na mtoto. Ushauri tafadhari..

Yawezakuwa mnamatatizo au kuna kitu mnakosea. hebu muoneneni mtaalamu wa mambo ya uzazi ili aweze washauri na kuwafanyia vipimo... Ila acheni kuzini
 
Ndoa mwaka kesho kutwa, upo busy kutaka kumpiga mimba. Muoe kwanza uone kama hashiki mimba mwezi huohuo. Ni hivi: hataki kuzaa wakati wewe hujaeleweka. Huna haja ya kwenda hospital
 
Nendeni hospital kwa ushauri na vipimo Zaidi.Jipe moyo
 
Habar wana jf?, da! Simuliwa omba yasikukute , nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga ndoa mwaka kesho kutwa, ila kuna tatizo ambalo linanisumbua sana , hashiki mimba huu ni mwaka wa tatu sasa najaribu lakini wapi , naombeni msaada nifanyaje mie, Na ninampenda sana , pia napenda kuwa na mtoto. Ushauri tafadhari..

Hashiki mimba au we we ndo hushikishi mimba,
 
mtoto ni zawadi katika ndoa, pili usimtie mwenzio aibu, we ndoa mwaka keshokustwa umbebeshe mimba mwaka huu? oa kijana halafu uone raha ya mtoto ndani ya ndoa, nje ya ndoa ni mawazo tu.
 
ukimuoa rasmi atashika tu mimba kwa sababu unampa vya wizi wizi havina maandalizi ndo maanda havishiki
 
Habar wana JF,

Simuliwa omba yasikukute, nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga ndoa mwaka kesho kutwa, ila kuna tatizo ambalo linanisumbua sana, hashiki mimba huu ni mwaka wa tatu sasa najaribu lakini wapi,

Naombeni msaada nifanyaje mie.

Na ninampenda sana, pia napenda kuwa na mtoto.

Ushauri tafadhali.

Ndo maana hata hambarikiwi wakati ndoa hutaki na matunda ya ndoa unataka. Hivi ni nini hasa unachokihitaji na unategemea kukipata mwaka kesho kutwa????
For five years mnafanya mission ya ndoa na haijakamilika....Mission ya kulea mtoto ndo utaiweza?

Eee Mola usiwape kiumbe wako hawa watu wasijemfanya awe na msongo wa mawazo hadi ajiue!
 
Mehesabie vizuri na uzini nae siku ya 14 baada ya breed yake ukiikosa hapo ujue we mgumba tu.
 
Back
Top Bottom