Jamani hashiki

Jamani hashiki

very well said. watoto ni zawadi toka kwa Mungu. unawezaona anamlaumu mwanamke kumbe yeye ndiye mwenye matatizo na huyo mwanamke anamficha tu. wakienda kupima ukashangaa mwanamke hana tatizo ila yeye ndiye alikuwa hana uwezo; hapo sasa. kwanza kabisa kama hamjafunga hata ndoa sijui tuseme mnazini au mnafanyeje sasa.

Tatizo liko kwa huyu mchumba wangu thuz why naomba ushauri kwenu ila suala la kuzini kweli ninakosa , but lazima uchunguze be4 Au ?
 
huyo mpenz wako au mke, yaani mnatarajia kufunga ndoa miaka 2 ijayo lakini mshaanza juhudi za kupata mtoto na ukajua hadi hashiki!
 
huyo mpenz wako au mke, yaani mnatarajia kufunga ndoa miaka 2 ijayo lakini mshaanza juhudi za kupata mtoto na ukajua hadi hashiki!

Yap, tatizo ni umbali tuliokua nao, uchumba tu miaka Tisa imepita so now dayz natamani xana kuwa na mtoto but mchumba angu hashiki mimba,
 
Habar wana jf?, da! Simuliwa omba yasikukute , nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga ndoa mwaka kesho kutwa, ila kuna tatizo ambalo linanisumbua sana , hashiki mimba huu ni mwaka wa tatu sasa najaribu lakini wapi , naombeni msaada nifanyaje mie, Na ninampenda sana , pia napenda kuwa na mtoto. Ushauri tafadhari..

Je mmekubaliana, uzae nae mwaka huu muoane mwaka kesho kutwa mhhh!
 
Back
Top Bottom