Jamani first year mimi nakufa njaa chuoni

wewe Van Dame kuna Uzi umeandika unasema wewe ni director wa TCU. ...nashangaa tena kuona Uzi wako huu unalia njaa upo chuo ....watu wenyeji wa JF tunaunganisha dots
 
Saidia mtoto wa maskini anayekufa na njaa chuoni
Magufuli mungu anakuona
1477337402846.jpg
 
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
Pole sana#Next time msifanye ujinga kwenye uchaguzi

Pia nakushauri kama hali ni ngumu postpone(ahirisha) mwaka,kisha urudi kijijini ukalime ili upate fedha ya kujikimu

Elimu ya mserereko ina changamoto zake,kama unatoka familia duni kuwezeshwa na serikali ni muhimu,ila kama umekosa mkopo,chukua ushauri niliokupa.

kupanga ni kuchagua.

Hapa kazi tuu.Haki elimu...
 
Wakuu hali inazidi kuwa ngumu..!!
Siku hizi nakula mlo mmoja tu usiku.
Tena wali maharage 1000/=
Bila hata maji ya kunywa.
Wazazi hawana pesa wanasema wamekopa mpaka wamechoka.
Naombeni ushauri nifanye nini???
Nimechaguliwa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING lakini nmekosa mkopo.
Mbna KOZI ZA AFYA MAGU kasema frst priorty ila mimi nmekosa kabisa..
Naombeni msaad jamani wa kifedha nitakufa njaaa.
NAHITAJI MDHAMINI WA KUNIPA PESA YA KULA HATA 50,000.
ASANTENI.
Weee jamàa mwaka jana ulisema unafanya kazi TCU imekuaje tena uko chuoni ...au tcu ulishfukuzwa nin
 
kubet wakat buku yenyew kwake tatzo tatzo mkipata bum yani unasahau kama ulishindia maji na kipande cha embe
 
Back
Top Bottom