de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 732
- 742
Jamani naandika uzi huu nikiwa na cheka sana maana leo msichana niliomtongoza na kunisumbua kwa muda mrefu na kuniambia ana mtu wake tena kwa nyodo kweli kweli
Nashangaa leo anakuja kuniomba niwe sehemu ya kufanikisha siku ya leo kwake iende vizuri na kufanikisha mishe zake,
i mean anaomba pesa na kuniita majina kibao ya kimahaba
Jamani wadada muwe wa wazi tu
#muda ni mchache mambo ni mengi ya kufanya
Nashangaa leo anakuja kuniomba niwe sehemu ya kufanikisha siku ya leo kwake iende vizuri na kufanikisha mishe zake,
i mean anaomba pesa na kuniita majina kibao ya kimahaba
Jamani wadada muwe wa wazi tu
#muda ni mchache mambo ni mengi ya kufanya