Hey Guys, tatizo ambalo pia naliona wazi kwa wengi wenu ni namna ya kuandika cv yako ili imvutie mwajiri na pia kushindana katika soko. Hata kama CV yako ni ya page moja hasa kwa wale fresh lakini unaweza iweka vzr,
Please work on that, waajiri wengi nowdays wanaangalia CV hata kabla ya vyeti vyako.
Please work on that, waajiri wengi nowdays wanaangalia CV hata kabla ya vyeti vyako.