Mbaya sana aiseee!! unafanya watu wanaogopa vitu vizuri. Tena masikini ata ukimpa Vitz ya cc990 atashusha vioo atakwambia AC inaongeza ulaji wa mafuta.
Nazionaga kama hazina maajabu kumbe ni Gari kali?Crown sio Gari ya mpito kama unavyofikiria, Crown imeanza kutengenezwa tangu mwaka 1959 na ni flagship of Toyota kwa Sedan cars, kule Japan inatumika sana kusafirishia viongozi wa serikali na hutumika kama patrol car kwa jeshi la polisi. Driving habits ndio inayoua watu usipofata sheria za barabarani na ushamba mwengine mwengine huko barabarani gari yoyote ile itakusababishia kifo. Sehem kubwa ya barabara za Tanzania sio salama sana kuendesha kwa over 150km/hr.
NB: Gari kama Crown comfortability yake na utulivu wake barabarani ata unapokuwa 180km/hr unajiona kama upo 80km/hr na hapo ndio tatizo linapoanzia
Hiyo ni bei kabla ya Kodi, jumlisha 5M hapo ya kodi ndio utaichukua getini pale DPWSo mln 11 nachukua gari yangu pale gate no 2 karibu na central police,sasa why huku mitaa unakuta crown namba DAA dalali anauza kwa mln 13!
Haya mambo sio ya kujaribu kabisa kwa mtu mwenye akili timamuVW Golf GTI funga kazi😊
Haya mambo sio ya kujaribu kabisa kwa mtu mwenye akili timamu
Walioko kwa crown elimu NDo hawana hata dereva anavosema amekubali inamaana hasikii kama gari limepunguza nguvu ECU imekataa mafuta na Ina I limit gari isiende beyond 180-190kphVW Golf GTI funga kazi😊