jamani CHRISTIAN BELLA anapigaga wapi hapa mujini

jamani CHRISTIAN BELLA anapigaga wapi hapa mujini

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,371
Reaction score
19,235
natamani kumuona huyu kiumbe akipaform live
hapa mujini anapigaga wapi wikiend hiii

alafu baada ya kurudi kaingia bendi gani

KUMBE WEWE NI MUSALITI UMEZOEA KUONJA ONJA KWA KILA MUTU ETI KISA WEWE NI MWANAMKE MZURI SANA

hutaki tuliaaaaa

uzuri ya mwanamke sio sura ni tabia wahenga walishasema
 
Huenda sijakuelewa masai dada! Unamtaka bella ama unataka muziki wake? Kama ni muziki wake nunua CD.
 
Last edited by a moderator:
Huenda sijakuelewa masai dada! Unamtaka bella ama unataka muziki wake? Kama ni muziki wake nunua CD.

aimtaki bella wala CD yake

NATAKA KUWATCH LIVE AKIIIMBA UENDANGI HATA KWA NJENJE WEWE????huwezi nielewa mimi live band ndo ugonjwa wangu
 
Last edited by a moderator:
christian bella,barnaba,banana zorro

hawa wasanii nawapenda sana...wakiimba live..nawapenda sana
 
christian bella,barnaba,banana zorro

hawa wasanii nawapenda sana...wakiimba live..nawapenda sana

naomba wimbo wa christian bella na banana

MIMI MASKINI NIENDE WAPII OOOUUUOOOO
 
kila ijumaa mango garden kinondoni,ni burudani sanaaaa.ndo bendi kali sasa hivi ya dansi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom