secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 17,713
- 34,841
Mbona unamtamgaza sasa.Mke wa secretarybird nimemuona kwenye huu Uzi maninaa
Mbona unamtamgaza sasa.Mke wa secretarybird nimemuona kwenye huu Uzi maninaa
Nampenda na kumpendelea 😋😋.
Maoni yako hayana ukweli wowote. Siku hizi kuna kundi kubwa la wajinga wanaojificha kwenye vyama vya upinzani kama Chadema ili waonekane wapo smart kwa sababu ukiwa mpinzani kazi yako kubwa ni kukosoa utawala uliopo. Lakini huyu mkosoaji ukimpa task aifanye kikamilifu ndio unakuja kugundua naye alikuwa kizibo tu aliyejificha kwenye kivuli cha kukosoa kosoa kazi ambayo ni nyepes kuliko maelezo.Wapo wengi ila wakishaingia CCM wanakuwa mazezeta
Sijui kwa Nini huyu dada moyo wangu unakataaga kumuamini kama kweli ni mpinzani. Anyway anemfahamu vzr anisaidie detail zake, ametokea wapi mpaka kufika hapo??
Mfano nzuri yeriko Nyerere😅Maoni yako hayana ukweli wowote. Siku hizi kuna kundi kubwa la wajinga wanaojificha kwenye vyama vya upinzani kama Chadema ili waonekane wapo smart kwa sababu ukiwa mpinzani kazi yako kubwa ni kukosoa utawala uliopo. Lakini huyu mkosoaji ukimpa task aifanye kikamilifu ndio unakuja kugundua naye alikuwa kizibo tu aliyejificha kwenye kivuli cha kukosoa kosoa kazi ambayo ni nyepes kuliko maelezo.