ndani ya wiki hizi mbili kumekuwa na ajabu kuhusu internet ya airtel. waliopo junguni watuambie kuna nini siku hizi. maana inaonekana ni ya ajabu kabisa. something that sijategemea kabisa. hebu ona attechments
Airtel wazushi sana hawa..nilijiunga na bandle nikijaribu ku-connect inagoma nikipiga simu wananiambia tushashughulikia subiri 24hrs..hakuna kilichotokea jana nimeeneda pale M/city wamehangaika hata internet yao pale inawazingua..hatimaye nikatoka kama nilivyoenda..nikimaanisha nmepata hasara
Performance ya hiizi Telecom companies na hasa Air tell imeshuka dramatically hasa baada ya out sourcing. IT depertment imekuwa out sourced kwenda IBM, network na Operation wameeenda Nokia-simens na Custormer care wamepelekwa Spanco! Yaani imekuwa balaa hamna uwajibikaji na wafanyakazi hawana hamu na kazi tena kila kitu kimekuwa bora liende. Wasipo angalia hii kampuni itakufa kifo cha mende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.