Jaman naomben msaada wa ku apply field caurse ya Mechanical Engineering

Jaman naomben msaada wa ku apply field caurse ya Mechanical Engineering

Joined
Aug 23, 2020
Posts
6
Reaction score
6
Jaman naomben msaada kwa anae jua maeneo ya field apa Dar. Mimi nasoma mechanical Engineering Diploma DIT ndo niko mwaka wa kwanza nlikua naomben msaada wa kuelekezwa maeneo ya kwenda ku apply Field.
 
Anza na makampuni yanayotoa post za ajira utajua makampun yote mf.fungua mabumbe
 
Kaombe nafasi VETA chang'ombe, TBL au Twiga cement kwa dsm utajifunza vingi sana
 
Field ya mechanical engineering inapatikana viwanda vingi vya uzalishaji, Kuanzia viwanda vya nguo, mafuta na gesi, soda, ngano, powerplants, veta, sido, railway, kampuni za usafirishaji ie;BRT, mamlaka ya usafiri wa anga, karakana za Serikali na halmashauri, kampuni kubwa za ujenzi, kwenye miradi mbalimbali ya Serikali yetu mf. reli ya mwendo kasi na bwawa la umeme.
ni juu yako Mkuu kutafuta sehemu ya kufanya hayo mafunzo ya vitendo.
 
Back
Top Bottom