jaman mh

jaman mh

belyz

Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
15
Reaction score
5
ndauliiiii!!!

ktk maisha yangu nlbahatka kktana na kjana miaka 3 ilopita tkashndana coz alkua n mnywaj (c mlev) thn m nkaja zangu chuo by th tym nlkua cngle tu.Kmbka nlshskua na friend b4 thn nkaona ka mbabaishaj iv nkamweka kando,

Nkiwa first yr friend akarud kwa kas mpya mwee ktanda hakzai haram, nkakbeba for th first date tym kwel nkatnza na kabnt nw n kakbwa tuu


Sasa yle mpenz kard ameacha knywa na anajua nna mtoto bt he z ready to take responcblty

put on mynd kwamba baba mtoto ypo ila sss mh ye care yake iko kwa mtoto tu na hayo mtunzo tu ktoa n hekaheka wakat mwngne hyu yko serriouz ad kwao wananfaham na ass if m ad nashndwa kuelewa

ckuwah kjuta kzaa bt hwa nnajuuta kzaa na hyu nlozaa nae...

nfanyj niolewe na tuu na hyuu
 
MHHHHHHHHHHHHH!!!!!!!!!!

Ukiwa single mom inabidi uwe very smart kichwani! Usipojiangalia UTATUMIKA SANAAAAAAAAAA kwa janja yao ya kujifanya kumkubali mtoto kumbe wataka urojo wa bureeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!

I dont know! Mimi nachokushauri as a single mom toa priority kwenye kuenjoy na kujinafasi na new love utaerizika nae. Ukiweka priority kwenye ndoa itakuumiza sana endapo hio ndoa ikichelewa!

Ni hayo tu!
 
yan hata mi nimeshndwa kuelewa! Cjui ndo kubana matumiz mwee! Best upo?

Sijui anafikili yupo twitter kuna limit of words nawakati humu ni kujiachia atashindwa kupata msada mfano iv maana yake ni hivi na c mlevi siyo mlevi sasa baada ya kushari tunatafuta mkalimani
 
jaman muda ndo ulikuwa unanityt haya nambieni now!! Khaaa jaman ndo mwanchambaje ivo mwee!!



Ok! n n hivi mi lengo langu baada ya kuwa baba mtoto simwelewi lilikuwa ni kuenjoy kujilelea mwanangu as a single mother sasa huyu mkaka ndo alonfanyanibadili mawazo tuweni siriaz jamani mwenzenuakili imestack mjue
 
ana mtoto mkubwa huyo.
Mi nakereka ujue

Hahaha yaani ulivyoandika kuwa wakereka, nimeivuta kwa karibu sura yako halafu nikakumbuka namna ukikereka unavyokuwa
 
Kwa uandishi huu hata huyo bwana akishakula asali atasepa na kukuachia mtoto wa pili usipojiangalia.
 
wrong place upo,wa FB,nimetumia akili nyingi/nguvu kuelewa mpaka nashindwa kutoa ushauri.ngoja nipumzike kidogo,
 
utakoma na huo aundishish wako, na bado wataendelea kula hiyo pusupusu mpaka ujue kuandika. Ila sahau kuolewa, yaani mwanume anayeoa mtu aliyezaa ananikera kupita meelezo, yaani kubikiri ukose na hata kuzalisha uwe wa pili? aaaah!
 
Back
Top Bottom