Broda silipendi, napenda brother
huyu inaonekana kijijini kwao wanamuita "mozilla firefox", si unaona avatar yake.karibu sana logo,uu mgeni lkn sioni kamba mguuni! Unamfahamu klorokwin na katavi?
huyu inaonekana kijijini kwao wanamuita "mozilla firefox", si unaona avatar yake.
Karib Logo bana ,naitwa klorokwini, familia yetu tupo sita,katika hao sita mimi peke yangu ndio greti thinka.
Wengine wanaitwa,naitwa klorokwini, familia yetu tupo sita,katika hao sita mimi peke yangu ndio greti thinka.
huyu inaonekana kijijini kwao wanamuita "mozilla firefox", si unaona avatar yake.
Karib Logo bana ,naitwa klorokwini, familia yetu tupo sita,katika hao sita mimi peke yangu ndio greti thinka.
hahahahahahaha! Na hao watano je?? Umenchekesha balaaaaaa! Nkionaga michango yako huwa naanza kucheka kwanza ndo nasoma!!
Wengine wanaitwa
1.Fansida
2.metakelfin,
3.SP,
4.Cafenol
5.na .....
Wako karantini
hehehe nyinyi badala ya kumkaribisha muheshimiwa logo na mashairi yake ya kiduku nyinyi mnafatilia detail za familia ya mod mtarajiwa klorokwini, nikishinda kura za maoni za umod mtakoma!he he he!we pekee ndo greti thinka،,lol!hiyo familia inaundwa na kina nani Mungu wangu!😕
karibu sana logo,uu mgeni lkn sioni kamba mguuni! Unamfahamu klorokwin na katavi?
hehehe nyinyi badala ya kumkaribisha muheshimiwa logo na mashairi yake ya kiduku nyinyi mnafatilia detail za familia ya mod mtarajiwa klorokwini, nikishinda kura za maoni za umod mtakoma!