Jaman ivi nitafanyaje ili niache kupiga master ushauri plz

Jaman ivi nitafanyaje ili niache kupiga master ushauri plz

Nimpe pole mapema kabisa MAGUFULI.
 
Tumia pilipili ya unga kujichua siku tatu mfululizo asubuhi kwa asubuhi kabla hujaendakazin
 
Inakubidi kuoa tu mkuu mana hamna namna
 
Kuna watu wanaleta utani ila mi nimemwelewa sana mtoa mada.Huyu jamaa anatatizo kubwa,ninavyomwelewa ni kwamba huyu jamaa anamwenza ila huyu mwenza wake hamridhishi hivyo anaamua kujichua ili kupoza hamu huu ndio msingi wa tatizo lake.
Mimi nakushauri kwamba tafuta kujua kwanini mwenzi wako hakuridhishi yawezekana humwandai vizuri hivyo anapata maumivu wakati wa tendo,au anamatatizo ya kuwa na maji machache ukeni.
Hivyo tafuta namna ya kupata ufumbuzi wa tatizo la mwenzio.
Kama nimekuelewa vizuri nadhani hii itakusaidia
 
Back
Top Bottom