mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,757
Kwa wapenzi wa soka, kabumbu, kandanda huyu mtu watakuwa wanamfahamu, kutoka Azam Media anakipindi kinaitwa "Soka Kijiweni" kinachoruka Azam TV, kiufupi nakikubali sana hiki kipindi na kinatoa fursa ya kumfahamu mchezaji wa Timu za ndani pamoja na maskani yake,
Huyu jamaa kwa jinsi anavofahamu mambo, anavoelezea/kuchambua anakitu cha ziada,
Je, wewe Ungependa aendelee kutangaza au awe Co-host/Mchambuzi kwenye kipindi cha michezo pale Uhai FM
Huyu jamaa kwa jinsi anavofahamu mambo, anavoelezea/kuchambua anakitu cha ziada,
Je, wewe Ungependa aendelee kutangaza au awe Co-host/Mchambuzi kwenye kipindi cha michezo pale Uhai FM