Anataka aonewe huruma, kazingua sanaMwanaume unaandikahe ma risala marefu hvo?
Huyu bado hajaamua kusepa, anatamani kubembelezwa arudi.
By the way, unaukimbiaje mji eako mwenyewe? Si angewaondoa hao wanaoleta ujinga?
Wanaume wa kweli huwa hatuandiki gazeti namna hiyo, Huwa maneno machache vitendo kwa wingi.Wakuu huyu ni jamaa yangu sana alikuwa na mkewe bt kutokana na matukio kadhaa ambayo yametokea pale nyumbani na mkewe pamoja na Mdogo wake mkewe jamaa kaamua kujitoa hapo na kumuachia mkewe Kila kitu.
Angalia hzo sms za kuagawanaume
Wewe unaanzaje kufuatilia mahusiano ya kimapenzi ya ndugu wa mkeo na kuyawekea mkazo huo mshipa unautoa wapi Mwanaume? Alafu Mwanaume haongei sanaMatatizo kwenye nyumba nyingi ukizitazama kwa kina utagundua kuwa wanaume wengi kwa kujua au kutokujua ni kuwa wameuamua kuukimbia uanamume wao kwa kuyaacha mambo waliyopaswa kuyafanya wao na kuwaachia wanawake.......,...
Story ya mleta mada(kama ni kweli) ni mfano ya aina hiyo ya hao wanaume
Dah Wana vyuo mna sumbua🤔😂Mwandiko huo wa form 4 C
Acha zako basi Mimi nilimaliza kitambo sanaDah Wana vyuo mna sumbua🤔😂
Sasa mbona una tupiga majungu, 4m 4 failures 🤔🤐😁Acha zako basi Mimi nilimaliza kitambo sana
Huyo alieandika huo mgazeti hapo unamuonaje kaishia la 7?Sasa mbona una tupiga majungu, 4m 4 failures 🤔🤐😁