Wakilimsomitz
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 134
- 208
Habari ya asubuhi wakuu. kuna rafiki angu tulisoma nae kuanzia darasa la saba tukafaulu then tukasoma wote hadi form 2. mwamba akaacha japo alifaulu now ameekewa umuhimu wa elimu ananiomba ushauri vipi wakuu. nimshauri asome qt au akaze kwenye biashara?



