Shedrack1998
Member
- Oct 7, 2019
- 5
- 2
Kuna jamaa angu ana tatizo la kusikia, ametumia dawa mbali mbali lakini hazijafanya kazi. Je afanyaje ili apone?
Aende hospitali akapimwe, mara nyingi tatizo ni nta kujaa sikioni, akifanyiwa ear irrigation linakwisha.Kuna jamaa angu ana tatizo la kusikia, ametumia dawa mbali mbali lakini hazijafanya kazi. Je afanyaje ili apone?