Nimesikiliza leo katika kipindi cha pata pata Wapo radio kuna jamaa mbezi juu alikuwa na nyeti ndogo kila akioa wanawake wanamkimbia alipo pata mke wa nne rafiki yake akamshauri atumie dawa za kichina apake mara 2 nyeti zitanenepa na kweli baada ya siku kadhaa mambo yakawa mazuri jamaa akawa anamridhisha mke wake alichokosea akazidisha akaendelea kupaka tu nyeti sasa zimevimba mithili ya kiloba cha unga wa azam anashindwa kutembea yeye analala tu na mwanamke amemkimbia anadai zina uzito wa kilo 9.
Mapenzi kweli mazito.
mzuka mzuka umekupanda mzuukaaaaaaaaaaa!:d:dbwana asisiwe sana!
kaka hata wewe unaisikiliza hii radio basi yesu yu karibu kurudi.
Ngoja niendeleze maombi!
hivi jamani, nasikia tu watu wakilalama eti nyeti ndogo, kwani nyeti ndogo zikoje? zinaurefu gani? zina unene gani? sasa nyeti ya ukubwa gani ndiyo inasemekana ni ya wastani?
Naombeni kwa 'figures'...kitu kidogo inaukubwa gani? inch 0.5, 1, 2, 3, 4, 5 etckwa kweli pape na mm natakakujua hope magreatthinker watatusaidia hapa
kwahiyo walio na 'vitu' vidogo wanaona noma au inakuwaje?Hahahaha mpwa hii radio kila siku asubuhi na jioni lazima nile news si unajua wapo juu sana kwa habari.
Hahahaha mpwa hii radio kila siku asubuhi na jioni lazima nile news si unajua wapo juu sana kwa habari.
Anaelewa huu mtarimbo ni mdogo ni mwanamke wewe unaona kawaida tu lakini mwanamke akasema mwanaume wenyewe anakitu kidogo kama chaki au bamia ukihema kinachomoka.
kudadeki, haya haya! kama chaki tena! afadhari ya bamia (bamia zingine ni nene)Anaelewa huu mtarimbo ni mdogo ni mwanamke wewe unaona kawaida tu lakini mwanamke akasema mwanaume wenyewe anakitu kidogo kama chaki au bamia ukihema kinachomoka.
kudadeki, haya haya! kama chaki tena! afadhari ya bamia (bamia zingine ni nene)