Na kuna jamaa alikuwa amelala na kuota ameokato pesa nyingi za dhahabu. Alijaza mifuko ya suruali bado pesa zipo. Akaamua kuvua suaruali, kule kwenye miguu akafunga vizuri ili iwe kama gunia. Akajaza mihela yote, akaweka "gunia" lake begani kuangukia mgongoni, akaondoka.
Akiwa njiani akahisi hela zinadondoka, akapeleka kidole kuzuwia tundu zinapodondokea. Alipostuka akakutia kazamisha kidole kwenye tIgO.