ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
NipoHivi upo sikuoni now
NipoHivi upo sikuoni now
Wewe ndio ulisema pombe ni dhambi kwenye uzi fulani 🚮mbona mwanamke akiwa uchi havutiii,, huyo mzembe kabisa
Utakuta alikutana na vitu vyakembona mwanamke akiwa uchi havutiii,, huyo mzembe kabisa
Story ya kutunga kenge wewe utabakwaKuna jamaa alienda kutafuta utajiri uko milimani aliekezwa na rafiki ake ambae walisoma wote sasa jamaa alivyo ona mwenzie tajiri nae akatamani akaelekezwa
Kufika kwa mganga pale mganga akampa mashariti mengi ila hayo yote aliyaweza ika bado moja ambalo halitakiwa kuingia kwenye iko chumba ambapo atamkuta mwanamke uchi ila hatikiwi kudindisha kabisa jamaa alijiamini akijua anatoboa
Bhna bhna akaingia humo ndani ile kumuona tu mjegeje ukainua pole pole yule mwanamke akawa kapotea kimazingira kumbe ile ilikuwa shart kwamba hatakiwi kujihusisha na wanawake kabisa maana uchawi wao pesa haipo kwa mwanamke jamaa alikosa utajili na sasaivi kawa masikini zaidi ya vile alivyo kuwa mwanzo
je ungekuwa wewe ungeweza?
Ahhah tangazo liplipia tangazo ,huo mtihani mi nauweza
Akiliii mzeeView attachment 3391411
Hiyo pesa ameharibu bure , kwakuwa inajulikana wazi kuwa unaweza zuia jambo fulani au kulinyima nguvu then ukalipa jambo lingine kwa wakati huo nguvu na ukapata matokeo chanya.
Napika mbona juzi nilileta uzi hapaMasta siku hizi haupiki?
Hakuweka nia katika lile alilokuwa analitafutaUtakuta alikutana na vitu vyake
Sijakuona mda snaNipo
Kisa wewe ushabakwa kienyeji basi wote unahis watabakwa kama ulivyo bakwaStory ya kutunga kenge wewe utabakwa
KwliiTulishahadithiana hizi stories wayback
Yes, ulitaka kusemaje labdaWewe ndio ulisema pombe ni dhambi kwenye uzi fulani 🚮
We fidifosi jumapili ya wiki hii waacheni waumini wa gwajima wafanye ibadaAkiliii mzee
Kuna kupigwa bumbu wazi mzeeHakuweka nia katika lile alilokuwa analitafuta
Utatoneshwa kinyeo boya weweKisa wewe ushabakwa kienyeji basi wote unahis watabakwa kama ulivyo bakwa
👍Yes, ulitaka kusemaje labda
Usiniweke katika makundi ambayo sipo ushanikuta kwa gwajima? Af mm sio polisi mzeeWe fidifosi jumapili ya wiki hii waacheni waumini wa gwajima wafanye ibada
au sioHata usipoenda kwa mganga ujizuia kutokutoa Mbegu zako kuna nguvu kubwa utapata ya kukusaidia katika kazi zako