jamaa kakosa utajili

jamaa kakosa utajili

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,467
Reaction score
65,789
Kuna jamaa alienda kutafuta utajiri uko milimani aliekezwa na rafiki ake ambae walisoma wote sasa jamaa alivyo ona mwenzie tajiri nae akatamani akaelekezwa

Kufika kwa mganga pale mganga akampa mashariti mengi ila hayo yote aliyaweza ika bado moja ambalo halitakiwa kuingia kwenye iko chumba ambapo atamkuta mwanamke uchi ila hatikiwi kudindisha kabisa jamaa alijiamini akijua anatoboa

Bhna bhna akaingia humo ndani ile kumuona tu mjegeje ukainua pole pole yule mwanamke akawa kapotea kimazingira kumbe ile ilikuwa shart kwamba hatakiwi kujihusisha na wanawake kabisa maana uchawi wao pesa haipo kwa mwanamke jamaa alikosa utajili na sasaivi kawa masikini zaidi ya vile alivyo kuwa mwanzo

je ungekuwa wewe ungeweza?
 
Kuna jamaa alienda kutafuta utajiri uko milimani aliekezwa na rafiki ake ambae walisoma wote sasa jamaa alivyo ona mwenzie tajiri nae akatamani akaelekezwa

Kufika kwa mganga pale mganga akampa mashariti mengi ila hayo yote aliyaweza ika bado moja ambalo halitakiwa kuingia kwenye iko chumba ambapo atamkuta mwanamke uchi ila hatikiwi kudindisha kabisa jamaa alijiamini akijua anatoboa

Bhna bhna akaingia humo ndani ile kumuona tu mjegeje ukainua pole pole yule mwanamke akawa kapotea kimazingira kumbe ile ilikuwa shart kwamba hatakiwi kujihusisha na wanawake kabisa maana uchawi wao pesa haipo kwa mwanamke jamaa alikosa utajili na sasaivi kawa masikini zaidi ya vile alivyo kuwa mwanzo

je ungekuwa wewe ungeweza?
Hata usipoenda kwa mganga ujizuia kutokutoa Mbegu zako kuna nguvu kubwa utapata ya kukusaidia katika kazi zako
 
Kuna jamaa alienda kutafuta utajiri uko milimani aliekezwa na rafiki ake ambae walisoma wote sasa jamaa alivyo ona mwenzie tajiri nae akatamani akaelekezwa

Kufika kwa mganga pale mganga akampa mashariti mengi ila hayo yote aliyaweza ika bado moja ambalo halitakiwa kuingia kwenye iko chumba ambapo atamkuta mwanamke uchi ila hatikiwi kudindisha kabisa jamaa alijiamini akijua anatoboa

Bhna bhna akaingia humo ndani ile kumuona tu mjegeje ukainua pole pole yule mwanamke akawa kapotea kimazingira kumbe ile ilikuwa shart kwamba hatakiwi kujihusisha na wanawake kabisa maana uchawi wao pesa haipo kwa mwanamke jamaa alikosa utajili na sasaivi kawa masikini zaidi ya vile alivyo kuwa mwanzo

je ungekuwa wewe ungeweza?
lipia tangazo ,huo mtihani mi nauweza
 
Aha sema kwelii
Screenshot_20250702-160511.png


Hiyo pesa ameharibu bure , kwakuwa inajulikana wazi kuwa unaweza zuia jambo fulani au kulinyima nguvu then ukalipa jambo lingine kwa wakati huo nguvu na ukapata matokeo chanya.
 
Back
Top Bottom