Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mwanaume mwenye umri wa makamo kutoka Uganda amewaduwaza wengi baada ya kumuua nyoka wa aina ya cobra na kumla siku yake ya kuzaliwa
Kenneth Odiom ambaye ni mkaaji wa kijiji cha Kwapa katika wilaya ya Tororo anasemekana kughadhabishwa na nyoka huyo ambaye alidai aliua mojawapo ya kuku wake.
Kenneth Odiom ambaye ni mkaaji wa kijiji cha Kwapa katika wilaya ya Tororo anasemekana kughadhabishwa na nyoka huyo ambaye alidai aliua mojawapo ya kuku wake.