Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,650
huyu baba hana aibu kabisa..si jukumu la wananchi kichangia miradi ya maendeleo hiyo ni kazi ya serikali..
Kweli kabisa mkuu. Isitoshe wananchi huchangia miradi ya maendeleo kupitia kodi.
huyu baba hana aibu kabisa..si jukumu la wananchi kichangia miradi ya maendeleo hiyo ni kazi ya serikali..
Mkuu kigoma bado haijaanza kujengwa iwe Kama DubaiMagwanda haya hawayaoni. Kwi kwi kwi teh teh teh!
Kikwete is the second smart president after Nyerere. You know why? This is the only URT President who has led this country without its first founder and yet goes well! Kikwete truly deserves some hands!
Wamemkunukuu vibaya rais wetu? Rais hawezi kutoa hoja nyepesi na zilizokaa kimipasho hivyo. It is un-presidential!.
Upinzani hawakusanyi kodi, hawapokee misaada kwa niaba ya nchi kama ambavyo EU wame-fund huo mradi wa maji huko Mbeya. Kupatikana kwa maji infact inaweza kuwa sifa kwa upinzani maana kama sio wao hata huo mradi usingekamilika. Ufuatiliaji wa upinzani na ukaribu wao na wananchi ndio unaifanya serikali na CCM yake kukumbuka shuka alfajiri!
Hata hivyo ahadi za rais ni nyingi na sidhani kwa muda uliobakia anaweza kuzitimiza zote, na hapo bado ilani ya chama.
hamna ukweli hapo huo mradi ulianza zamani na ni mpango wa EU kuwezesha majiji kupitia program yao na si kwasababu mtyu fulani kaomba,hata kabla ya uchaguzi huo mradi ulikuwa umeaanza,tuchape kazi tuache siasa za kujisifu zisizo na maana,hatujafika kabisa ndo tunachechemea,kiukweli mbeya kikwete hukubariki kabisa na 2015 huwezi kuongea chochote kule.tuache siasa tujenge taifa.Nimesoma ila sijaona maneno ya kunichekesha, zaidi ya Rais kuongea ukweli.
Wamemkunukuu vibaya rais wetu? Rais hawezi kutoa hoja nyepesi na zilizokaa kimipasho hivyo. It is un-presidential!.
Upinzani hawakusanyi kodi, hawapokee misaada kwa niaba ya nchi kama ambavyo EU wame-fund huo mradi wa maji huko Mbeya. Kupatikana kwa maji infact inaweza kuwa sifa kwa upinzani maana kama sio wao hata huo mradi usingekamilika. Ufuatiliaji wa upinzani na ukaribu wao na wananchi ndio unaifanya serikali na CCM yake kukumbuka shuka alfajiri!
Hata hivyo ahadi za rais ni nyingi na sidhani kwa muda uliobakia anaweza kuzitimiza zote, na hapo bado ilani ya chama.